Timu ya soka ya ngoro ngoro leo imechapwa bao 2-0 na nigeria katika uwanja wa nyumbani jijini dar es salam,na wafungaji wa nigeria ni
Yahya Musa pamoja na Awoinyi Taiwo.
kwa matokeo hayo Tanzania tunaitaji ushindi wa bao tatu kwa bila katika mechi ya marudiano itakayofanyika nchini nigeria hivi karibuni.
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Chapisha Maoni