Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



Mfungaji bao la Mexico Oribe Peralta
Mexico yajikita katika nafasi ya pili ya Kundi A nyuma ya Brazil baada ya ushindi wa bao moja kwa nunge dhidi ya wawakilishi wa Afrika the Indomitable lions ya Cameroon.
Mechi hiyo ndiyo iliyokuwa ya pili baada ya ushindi tata wa Brazil dhidi ya Craotia hapo jana.
Kama mechi hiyo ya ufunguzi iliyoshuhudia maamuzi tata, Mabao mawili ya mshambulizi wa Giovanni Dos Santos yalifutiliwa mbali kutokana na kile wachambuzi wa mechi waliashiria kuwa ni makosa mwamuzi msaidizi.

Long wait: Oribe Peralta (left) gives Mexico the lead in the 61st minute

Ahead: Peralta wheels away in celebration after given Mexico a deserved lead in the Group A clash


Jubilant: The Mexico players celebrates the opening goal with the substitutes on the sidelines

Bad day: Giovani Dos Santos saw two seemingly fair goals disallowed during the first half
Strike: The Mexican striker shoots and scores but his goal was disallowed
He's on! Dos Santos was clearly in an onside position as the cross came into the penalty area

One to forget: Samuel Eto'o missed a glorious chance to give his side the lead in the first half



Chapisha Maoni