Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter, anasema kuwa atawania urais wa shirikisho hilo mwaka ujao.
Utakuwa muhula wake wa tano mamlakani ikiwa atachaguliwa.
Bwana Blatter, ambaye ana umri wa miaka 78, alichaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1998.
Amesema kuwa atatangaza azma yake rasmi katika mkutano wa kamati ya shirikisho hilo badaye mwezi huu.
Kiongozi huyo mwenye utata awali alisema kuwa hatagombea muhula mwingine lakini msimako huo umebadilika.

Sepp Blatter
Sepp Blatter Nov 2013 Zurich.jpg
Blatter at Zürich Central Station in November 2013
8th President of FIFA
Incumbent
Assumed office
8 June 1998
Preceded by João Havelange
Personal details
Born Josef Blatter[1]
10 March 1936 (age 78)
Visp, Valais, Switzerland
Nationality Swiss
Spouse(s) Graziella Bianca
(m. 2002–2004)
Residence Zurich, Switzerland
Alma mater University of Lausanne



Chapisha Maoni