Mchezaji wa zamani wa Chelsea ambaye alirudi tena England Demba Ba alikuwa ni miongoni mwa wachezaji wa Besitkas waliofunga penalti.
Nayo Tottenham imeondolewa kwenye mashindano hayo baada ya kupata kichapo cha magoli 2 -0 kutoka kwa Fiorentina na hivyo kuondolewa kwa jumla ya magoli 3 - 1.
Wakati Tottenham na Liverpool zikiondolewa na kwenye michuano hiyo Everton yenyewe imesonga mbele katika hatua ya kumi na sita bora baada ya kuifunga BSC Young Boys ya Uswis kwa jumla magoli 3 -1.
Matokeo mengine Inter Milan ya Italia imesonga mbele baada ya kuifunga Celtic 1 - 0.
Zenit St Petersburg ya Urusi nayo imesonga mbele baada ya kuifunga PSV Eindhoven kwa magoli 3 kwa 0.
Matokeo ya mengine ya mechi za Europa ligi zilizochezwa haya hapa chini
Besiktas 1 - 0 Liverpool (agg 1 - 1)
Fiorentina 2 - 0 Tottenham (agg 3 - 1)
Inter Milan 1 - 0 Celtic (agg 4 - 3)
Everton 3 - 1 BSC Young Boys (agg 7 - 2)
Feyenoord 1 - 2 Roma (agg 2 - 3)
Dinamo Moscow 3 - 1 Anderlecht (agg 3 - 1)
Zenit St P 3 - 0 PSV
Borussia Mönchengladbach 2 - 3 Sevilla (agg 2 - 4)
Dynamo Kiev 3 - 1 Guingamp (agg 4 - 3)
FC Red Bull Salzburg 1 - 3 Villarreal (agg 2 - 5)
Legia Warsaw 0 - 3 Ajax (agg 0 - 4)
Ath Bilbao 2 - 3 Torino (agg 4 - 5)
Chapisha Maoni