Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


Arsenal wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya AS Monaco wakiwa ugenini. Lakini wametolewa na kushindwa kusonga katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Kilichowang’oa Arsenal ni kupoteza kwa mabao 3-1 katika mechi ya kwanza wakiwa nyumbani Emirates, London.
Olvier Giroud na Aaron Ramsey aliyeingia kipindi cha pili ndiyo waliofunga mabao hayo mawili.


Atletico Madrid: Moya, Juanfran, Miranda, Gimenez, Jesus Gamez, Cani, Mario Suarez, Koke, Turan, Griezmann, Mandzukic.
Subs: Oblak, Raul Garcia, Jimenez, Gabi, Ansaldi, Torres, Lucas Hernandez.

Bayer Leverkusen: Leno, Hilbert, Toprak, Spahic, Wendell, Bellarabi, Castro, Bender, Son, Calhanoglu, Drmic.
Subs: Kresic, Reinartz, Rolfes, Kiessling, Papadopoulos, Boenisch, Brandt.

Referee: Nicola Rizzoli (Bologna)














Chapisha Maoni