Real Madrid pamoja na kuwa nyumbani, imekumbana na kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa wapinzani wake hao wakubwa Barcelona.
Hasira za mashabiki wa Real Madrid sasa zimemuangukia Rais wa klabu hiyo, Florentino Perez na wanataka ajiuzulu kabisaaa.
Uamuzi huo unatokana na wao kuamini hawajibiki ipasavyo na timu hiyo imeingia katika matatizo makubwa ya kushindwa kucheza kwa kiwango huku yeye akiwa kimya.
Mashabiki hao wanaona wamepata aibu kubwa, kwani licha ya kuchapwa mabao hayo manne, lakini Barcelona ndiyo waliotawala mchezo wa dakika zote 90 hiyo jana huku wakionyesha soka la kuvutia kweli kweli.
Mashabiki waliokuwa uwanjani, walikuwa wakizomea huku wakiangalia upande aliokaa Perez ambaye walimuonyesha wanataka aachie ngazi.
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Recent Posts
- Anonymous25 Nov 2016GERRARD HATA KAMA TUPO AFRIKA TUTAKUKUMBUKA DAIMA, KISOKA
Gwiji wa Liverpool, Steven Gerrard amestaafu rasmi kutumikia mchezo wa Soka ikiwa ni baada...
- Anonymous01 Oct 2016HII NDIO SIMBA NA YANGA, USIPITWE..
Ipo itikadi hata wengine huamini kwamba, utambulisho wa mtanzania ni alama ya chanjo ya mwili maaruf...
- Anonymous15 Jun 2016RATIBA LIGI KUU YA UINGEREZA 2016/17 HII HAPA
EPL August 13/14 Arsenal v Liverpool Bournemouth v Manchester United Burnley v Swa...
- Anonymous31 May 2016MAKOCHA WALIOPITA SIMBA
Tangu 2000 hadi sasa Mkenya, James Siang’a (2000-2004-Nilimuelewa sana Tu) Trott Moloto-Sauz (...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni