2015 FIFA FIFPro World XI: ROONEY, TERRY NDIO PEKEE WACHEZAJI WA ENGLAND!
Wayne Rooney na John Terry ndio Wachezaji pekee wa England kutajwa kwenye Kikosi Bora cha Dunia cha Mwaka 2015, 2015 FIFA FIFPro World XI, cha Wachezaji 55 kitakachochujwa kufikia Wachezaji 11 hapo Januari 11 wakati wa kutoa Tuzo ya Mchezaji Bora Duniani, Ballon D'Or.
Kikosi hicho cha Wachezaji 55 kina Wachezaji 10 tu wanaochezea Ligi Kuu England.
Manchester City ndio yenye Wachezaji wengi ambao ni Vincent Kompany, David Silva, Yaya Toure na Sergio Aguero.
Mabingwa Watetezi Chelsea wanao Terry, Branislav Ivanovic na Eden Hazard wakati Manchester United wanae Rooney na David de Gea huku Arsenal ikiwa na Alexis Sanchez.
Real Madrid imetoa Wachezaji 12 kwenye FIFA FIFPro World XI kati ya hao 55, wakati Bayern Munich ina 11 na Mabingwa wa Ulaya Barcelona wana 10.
Uteuzi wa mwisho wa Wachezaji 11 utaamuliwa na Wachezaji wenyewe ambao ni Wanachama wa FIFPro, Chama cha Kutetea Wachezaji Soka wa Kulipwa, kwa kukusanya Kura wa Wachezaji 25,000 toka Nchi tofauti 70.
Kikosi cha FIFA FIFPro World XI kitakuwa na Kipa Mmoja, Mabeki Wanne, Viungo Watatu na Mafowadi Watatu.
FIFA FIFPro World XI-Listi ya Wachezaji 55:
Makipa: Gianluigi Buffon (Italy, Juventus), Iker Casillas (Spain, Porto), David De Gea (Spain, Manchester United), Keylor Navas (Costa Rica, Real Madrid), Manuel Neuer (Germany, Bayern Munich)
Mabeki: David Alaba (Austria, Bayern Munich), Jordi Alba (Spain, Barcelona), Daniel Alves (Brazil, Barcelona), Jerome Boateng (Germany, Bayern Munich), Daniel Carvajal (Spain, Real Madrid), Giorgio Chiellini (Italy, Juventus), David Luiz (Brazil, Paris St Germain), Diego Godin (Uruguay, Atletico Madrid), Mats Hummels (Germany, Borussia Dortmund), Branislav Ivanovic (Serbia, Chelsea), Vincent Kompany (Belgium, Manchester City), Philipp Lahm (Germany, Bayern Munich), Marcelo (Brazil, Real Madrid), Javier Mascherano (Argentina, Barcelona), Pepe (Portugal, Real Madrid), Gerard Pique (Spain, Barcelona), Sergio Ramos (Spain, Real Madrid), Thiago Silva (Brazil, Paris St Germain), John Terry (England, Chelsea), Raphael Varane (France, Real Madrid)
Viungo: Thiago Alcantara (Spain, Bayern Munich), Xabi Alonso (Spain, Bayern Munich), Sergio Busquets (Spain, Barcelona), Eden Hazard (Belgium, Chelsea), Andres Iniesta (Spain, Barcelona), Toni Kroos (Germany, Real Madrid), Luka Modric (Croatia, Real Madrid), Andrea Pirlo (Italy, New York City FC), Paul Pogba (France, Juventus), Ivan Rakitic (Croatia, Barcelona), James Rodriguez (Colombia, Real Madrid), David Silva (Spain, Manchester City), Yaya Toure (Ivory Coast, Manchester City), Marco Verratti (Italy, Paris St Germain), Arturo Vidal (Chile, Bayern Munich)
Mafowadi: Sergio Aguero (Argentina, Manchester City), Gareth Bale (Wales, Real Madrid), Karim Benzema (France, Real Madrid), Douglas Costa (Brazil, Bayern Munich), Zlatan Ibrahimovic (Sweden, Paris St Germain), Robert Lewandowski (Poland, Bayern Munich), Lionel Messi (Argentina, Barcelona), Thomas Muller (Germany, Bayern Munich), Neymar (Brazil, Barcelona), Arjen Robben (Netherlands, Bayern Munich), Cristiano Ronaldo (Portugal, Real Madrid), Wayne Rooney (England, Manchester United), Alexis Sanchez (Chile, Arsenal), Luis Suarez (Uruguay, Barcelona), Carlos Tevez (Argentina, Boca Juniors)
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Related Posts
- Anonymous25 Nov 2016GERRARD HATA KAMA TUPO AFRIKA TUTAKUKUMBUKA DAIMA, KISOKA
Gwiji wa Liverpool, Steven Gerrard amestaafu rasmi kutumikia mchezo wa Soka ikiwa ni baada...
- Anonymous15 Jun 2016RATIBA LIGI KUU YA UINGEREZA 2016/17 HII HAPA
EPL August 13/14 Arsenal v Liverpool Bournemouth v Manchester United Burnley v Swa...
- Anonymous12 May 2016TIMU ZILIZOSHUKA DARAJA UINGEREZA HIZI HAPA
Klabu ya Norwich City imeshushwa daraja kutoka Ligi ya Premia licha ya kuandikisha ushindi dhidi ya ...
- Anonymous05 May 2016BOSI WA LEICESTER CITY AMWAGA MAGARI YA KIFAHARI KWA WWCHEZAJI
Mercedes B-Class Electric Drive. Thamani yake ni pauni £32,670 (zaidi ya Sh million 103) kwa g...
- Anonymous06 Apr 2016UEFA CHAMPIONZ LIGI ROBO FAINALI
Mechi zote kuanza Saa 3 Dakika 45 Usiku Jumatano Aprili 6 Paris St-Germain v Manchester City ...
- Anonymous29 Mar 2016MOURINHO KUIJENGA UNITED
Meneja wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho anadaiwa kuanza kujipanga na Manchester United kama atac...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni