SAFU ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA CHAMPIONZ LIGI, UCL, imekamilika Jana na Timu za England, Arsenal na Chelsea, zilishinda hapo Jana na kutinga Mtoano.
Timu hizo zinaungana na Chelsea iliyofuzu mapema ikiwa na Mechi 2 mkononi.
Juzi Man United ilitolewa UCL na kutupwa UEFA EUROPA LIGI baada ya kumaliza Nafasi ya 3 kwenye Kundi B.
Man United sasa itacheza Raundi ya Mtoano ya Timu 32 ya Kombe hilo.
Droo za kupanga Mechi za Raundi ya Mtoano ya UCL na ile ya EUROPA LIGI itafanyika Desemba 14.
UEFA CHAMPIONZ LIGI
Hali ilivyo hadi sasa:
Washindi wa Makundi: Real Madrid, Wolfsburg, Atletico Madrid, Manchester City, Barcelona, Bayern Munich, Zenit, Chelsea
Washindi wa Pili wa Makundi: Paris Saint-Germain, PSV Eindhoven, Benfica, Juventus, AS Roma, Arsenal, Dynamo Kiev, Gent
Wametupwa Europa Ligi: Shakhtar Donetsk, Manchester United, Galatasaray, Sevilla, Bayer Leverkusen, Olympiakos, FC Porto, Valencia
Wametolewa: Malmö, CSKA Moskva, Astana, Borussia Mönchengladbach, Dinamo Zagreb, Maccabi Tel-Aviv, Lyon, BATE Borisov
UEFA CHAMPIONZ LIGI
Mechi za mwisho za Makundi
Jumatano Desemba 9
KUNDI E
Bayer Leverkusen 1 Barcelona 1
Roma 0 BATE Borislov 0
KUNDI F
Dinamo Zagreb 0 Bayern Munich 2
Olympiakos 0 Arsenal 3
KUNDI G
Chelsea 2 FC Porto 0
Dynamo Kiev 1 Maccabi Tel Aviv 0
KUNDI H
KAA Gent 2 Zenit Saint Petersburg 1
Valencia 0 Lyon 2
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Related Posts
- Anonymous25 Nov 2016GERRARD HATA KAMA TUPO AFRIKA TUTAKUKUMBUKA DAIMA, KISOKA
Gwiji wa Liverpool, Steven Gerrard amestaafu rasmi kutumikia mchezo wa Soka ikiwa ni baada...
- Anonymous15 Jun 2016RATIBA LIGI KUU YA UINGEREZA 2016/17 HII HAPA
EPL August 13/14 Arsenal v Liverpool Bournemouth v Manchester United Burnley v Swa...
- Anonymous12 May 2016TIMU ZILIZOSHUKA DARAJA UINGEREZA HIZI HAPA
Klabu ya Norwich City imeshushwa daraja kutoka Ligi ya Premia licha ya kuandikisha ushindi dhidi ya ...
- Anonymous05 May 2016BOSI WA LEICESTER CITY AMWAGA MAGARI YA KIFAHARI KWA WWCHEZAJI
Mercedes B-Class Electric Drive. Thamani yake ni pauni £32,670 (zaidi ya Sh million 103) kwa g...
- Anonymous06 Apr 2016UEFA CHAMPIONZ LIGI ROBO FAINALI
Mechi zote kuanza Saa 3 Dakika 45 Usiku Jumatano Aprili 6 Paris St-Germain v Manchester City ...
- Anonymous29 Mar 2016MOURINHO KUIJENGA UNITED
Meneja wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho anadaiwa kuanza kujipanga na Manchester United kama atac...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni