Waamuzi kutoka nchini Ivory Coast wamepewa jukumu la kuchezesha mechi kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly jijini Dar es Salaam.
Pamoja na waamuzi hao kutoka Ivory Coast, kamisaa atakayesimamia mechi hiyo ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika atakuwa anatokea nchini Rwanda.
Taarifa ambazo Championi Jumatano limezipata mwamuzi wa kati atakuwa ni Denis Dimleby atakuwa akisaidiwa na Marios Stan na Mussa Bale watakaoshika vibendera wakati Tango Compo atakuwa mezani.
Kamisaa ameelezwa kuwa ni Chelistin Ntajaar kutoka nchi ya jirani na Tanzania ya Rwanda.
Waamuzi hao kutoka Afrika Magharibi, watawasili jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatano au Alhamisi siku mbili hadi tatu kabla ya mechi hiyo.
Mechi hiyo dhidi ya wababe wa Kaskazini mwa Afrika dhidi ya timu kongwe barani Afrika, inasubiriwa kwa hamu kubwa.
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Related Posts
- Anonymous01 Oct 2016HII NDIO SIMBA NA YANGA, USIPITWE..
Ipo itikadi hata wengine huamini kwamba, utambulisho wa mtanzania ni alama ya chanjo ya mwili maaruf...
- Anonymous15 Apr 2016LIVERPOOL VS VILLARREAL NUSU FAINAL EUROPA
SHAKHTAR DONETSK vs SEVILLA VILLARREAL vs LIVERPOOL Droo ya Nusu Fainali ya Uefa Europa League imefa...
- Anonymous06 Apr 2016TFF KUWACHUKULIA HATUA KALI,VIONGOZI NA WATUMISHI WAKE
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesikitishwa na taarifa zilizosambaa katika m...
- Anonymous06 Apr 2016KUWAONA YANGA vs AL AHLY BUKU TANO TU...
Klabu ya Yanga, leo imetangaza viingilio vya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika dh...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni