Taifa Stars imepoteza mechi
yake dhidi ya Malawi kwa
kufungwa bao 1-0 mjini
Blantyre, lakini imesonga
mbele katika mechi hizo za
awali kuwania kucheza Kombe
la Dunia mwaka 2018 nchini
Urusi.
Stars imesonga mbele kwa jumla ya
mabao 2-1 baada ya ushindi wake wa
mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam
Jijini Dar es Salaam,
Jumatano.
Malawi ilipata bao lake
mwishoni mwa kipindi cha
kwanza kupitia shuti kali
John Banda lililombabatiza
Kelvin Yondani na kumshind
kipa Ally Mustapha.
Hata hivyo kipa huyo
aliendelea kuwa shujaa kwa
kuokoa michomo mingi katik
kipindi cha kwanza ambacho
Malawi walikuwa vizuri zai
Stars walitumia muda mwing
kukaba hasa katika kipindi
kwanza, angalau katika kip
cha pili wakaanza kuonyesh
mabadiliko kwa kupambana
zaidi.
Kutokana na ushindi huo,
inatarajia kucheza mechi m
dhidi ya Algeria ambazo
zitachezwa kati ya Novemba
na 17.
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Related Posts
- Anonymous01 Oct 2016HII NDIO SIMBA NA YANGA, USIPITWE..
Ipo itikadi hata wengine huamini kwamba, utambulisho wa mtanzania ni alama ya chanjo ya mwili maaruf...
- Anonymous15 Apr 2016LIVERPOOL VS VILLARREAL NUSU FAINAL EUROPA
SHAKHTAR DONETSK vs SEVILLA VILLARREAL vs LIVERPOOL Droo ya Nusu Fainali ya Uefa Europa League imefa...
- Anonymous06 Apr 2016TFF KUWACHUKULIA HATUA KALI,VIONGOZI NA WATUMISHI WAKE
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesikitishwa na taarifa zilizosambaa katika m...
- Anonymous06 Apr 2016KUWAONA YANGA vs AL AHLY BUKU TANO TU...
Klabu ya Yanga, leo imetangaza viingilio vya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika dh...
- Anonymous30 Mar 2016WAAMUZI WA IVORY COAST KUWAAMUA YANGA
Waamuzi kutoka nchini Ivory Coast wamepewa jukumu la kuchezesha mechi kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni