Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


QPR yaizabua Aston Villa 2 - 0


Ligi kuu ya soka ya England iliendelea tena usiku wa kuamkia jumanne kwa mchezo mmoja tu kuchezwa.
QPR ndio walikuwa wenyeji kuwaalika Aston Villa katika dimba la Loftus Road ambapo wenyeji QPR walifanikiwa kuifurusha kama si kuisasambua Aston Villa kwa jumla ya mabao 2 kwa mshangao.
Matokeo hayo yameisaidia timu hiyo kupanda nafasi moja juu kutoka mkiani kwakuwa na point 7 kibindoni huku Burnley ikiendelea kuburuza mkia katika msimamo wa ligi hiyo.
Chelsea ndio vinara wa ligi hiyo ambao bado wanaendelea kuwa juu kileleni.
 

English Barclays Premier League | LOGS

PosTeamPWDLGFGAGDPts
1Chelsea97202491523
2Southampton96122051519
3Manchester City95221910917
4West Ham United95131712516
5Arsenal93511511414
6Swansea City94231310314
7Liverpool94231312114
8Manchester United93421613313
9Everton93331917212
10Hull City92521313011
11Tottenham Hotspur93241113-211
12Stoke City9324810-211
13West Bromwich Albion92431213-110
14Newcastle United92431015-510
15Aston Villa9315414-1010
16Crystal Palace92341316-39
17Leicester City92341115-49
18Sunderland9153817-98
19Queens Park Rangers9216818-107
20Burnley9045516-114


Chapisha Maoni