Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.




 Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ni rasmi sasa amerejea katika klabu aliyoipandisha daraja ya Mwadui FC ya Shinyanga baada ya  kumalizana na uongozi wa klabu hiyo.
 
Katibu wa Mwadui, Ramadhani Kilao, amethibitisha  kuwa walikuwa na kikao kizito cha makubaliano na kocha huyo kwenye ofisi za timu hiyo zilizopo ndani ya kampuni ya Petra Diamonds Ltd, iliyopo Mwadui, mjini Shinyanga


Chapisha Maoni