Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


klabu ya soka ya Barcelona
wamewatumia taarifa klabu ya soka ya Otelul
Galati ya nchini Romania kuwa watawashitaki
kwa kitendo chao cha kutengeneza nembo
inayofanana na ya kwao Barcelona.
Kiongozi wa Otelul Galati anasema kuwa ni
kweli wamefanya makosa ya copy and paste, na
kwamba wanahitaji kubadili haraka na
kurudisha alama waliyokua wakiitumia zamani.
Mapema hivi karibuni klabu ya Barcelona ilitoa
taarifa na onyo kwa klabu hiyo ya Romania
kuwa watawafikisha mahakamani kwa kuiba
nembo ya klabu yao.
Mwaka 2011-12 Otelul Galati ilipangwa katika
kundi moja na Manchester United na kufungwa
mabao 2-0 katika mechi za nyumbani na
ugenini.
Otelul Galati hivi sasa wameshuka daraja baada
ya kupitia kipindi kigumu na wako hatarini
kupotea kabisa katika ramani ya soka sio tu
duniani bali nchini Romania.



Chapisha Maoni