Timu ya soka ya
Tanzania Bara
‘Kilimanjaro Stars’
imedhibitisha
kushiriki michuano ya
Chalenji
itakayofanyika nchini
Ethiopia kuanzia
Novemba 21 hadi
Desemba, 2015.
Michuano ya Cecafa
Chalenji ndio michuano
mikongwe zaidi barani
Afrika ambapo jumla ya
nchi 12 wanachama
hushirki michuano hiyo
iliyofanyika mara ya
mwisho mwaka juzi
nchini Kenya na
wenyeji kutwaa Ubingwa
huo.
Nchi wanachama wa
Cecafa ni Tanzania
Bara, Kenya, Uganda,
Burundi, Rwanda,
Ethiopia, Eritrea,
Djibouti, Somali,
Sudan, Sudan Kusini na
Zanzibar.
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Related Posts
- Anonymous01 Oct 2016HII NDIO SIMBA NA YANGA, USIPITWE..
Ipo itikadi hata wengine huamini kwamba, utambulisho wa mtanzania ni alama ya chanjo ya mwili maaruf...
- Anonymous15 Apr 2016LIVERPOOL VS VILLARREAL NUSU FAINAL EUROPA
SHAKHTAR DONETSK vs SEVILLA VILLARREAL vs LIVERPOOL Droo ya Nusu Fainali ya Uefa Europa League imefa...
- Anonymous06 Apr 2016TFF KUWACHUKULIA HATUA KALI,VIONGOZI NA WATUMISHI WAKE
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesikitishwa na taarifa zilizosambaa katika m...
- Anonymous06 Apr 2016KUWAONA YANGA vs AL AHLY BUKU TANO TU...
Klabu ya Yanga, leo imetangaza viingilio vya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika dh...
- Anonymous30 Mar 2016WAAMUZI WA IVORY COAST KUWAAMUA YANGA
Waamuzi kutoka nchini Ivory Coast wamepewa jukumu la kuchezesha mechi kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni