Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani
kwa upande wa wanawake Serena Williams
atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka
mzima kutoka na kuwa na majeraha.
Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa
kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams
mwenye miaka 34 amesema" nimecheza nikiwa
na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,"
Nyota huyo wa tenesi tayari ametoa taarifa ya
kupumzika kwa chama cha mchezo wa tenesi
kwa wanawake(WTA)
Serena msimu huu wa 2015 ameshinda mataji ya
wazi Australian French Open na lakini haja cheza
toka alipofungwa na Muitaliano Roberta Vinci.



Chapisha Maoni