Rais wa Shirikisho la Soka
Tanzania (TFF), Jamal
Malinzi ametuma salam za
pongezi kwa Alberto Simago
Junior wa Shirikisho la
Soka la Msumbiji (FMF) na
Sidiki Tombi wa Shirikisho
la Soka Cameroon (FECAFOOT)
kufuatia kuchaguliwa kuwa
marais wa mashiriksho hayo.
Katika salam zake kwenda
FMF na FECAFOOT, Malinzi
amesema kuchaguliwa kwao
kuogoza mashirikisho hayo
kumetokana na imani ya
wanafamilia wa mpira miguu.
Kwa niaba ya Kamati ya
Utendaji ya TFF na familia
ya mpira wa miguu nchini,
anawapa pongezi kwa
kucgahuliwa kwao.
TFF inaahidi kushirikiana
na uongozi mpya wa FMF na
FECFOOT katika maendeleo ya
mpira wa miguu Afrika na
Dunia kote.
Asante kwa kutembelea Hope FM Iringa, Asante kwaku-share habari hii, Kama una Maoni, Ushauri, Story ya ku-share na sisi na au Unahitaji msaada...!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Wasiliana nasi kwa Email hopefmiringa@gmail.com au ungana nasi kupitia mitandao ya kijamii hapo chini!
Related Posts
- Anonymous01 Oct 2016HII NDIO SIMBA NA YANGA, USIPITWE..
Ipo itikadi hata wengine huamini kwamba, utambulisho wa mtanzania ni alama ya chanjo ya mwili maaruf...
- Anonymous15 Apr 2016LIVERPOOL VS VILLARREAL NUSU FAINAL EUROPA
SHAKHTAR DONETSK vs SEVILLA VILLARREAL vs LIVERPOOL Droo ya Nusu Fainali ya Uefa Europa League imefa...
- Anonymous06 Apr 2016TFF KUWACHUKULIA HATUA KALI,VIONGOZI NA WATUMISHI WAKE
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesikitishwa na taarifa zilizosambaa katika m...
- Anonymous06 Apr 2016KUWAONA YANGA vs AL AHLY BUKU TANO TU...
Klabu ya Yanga, leo imetangaza viingilio vya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika dh...
- Anonymous30 Mar 2016WAAMUZI WA IVORY COAST KUWAAMUA YANGA
Waamuzi kutoka nchini Ivory Coast wamepewa jukumu la kuchezesha mechi kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni