Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



Touch of class: Bayern stars (left-right) Xherdan Shaqiri, Franck Ribery and Robben compete for the ball


RECODS
Manchester United wana rekodi ya kushinda mechi 6 za mwisho walizocheza na timu kutoka Bundesliga na rekodi yao ya kiujumla dhidi ya timu za kijerumani wanapocheza Old Trafford - wameshinda mara 8, safe 3 na wamepoteza mechi 2. Rekodi yao ya ugenini na nyumbani ipo hivi ushindi mechi 14, sare 7 na kufungwa 6.
Bayern wanasaka ushindi wa tano mfululizo katika ardhi ya UK. Msimu huu walishinda 3-1 dhidi ya Man City katika makundi na wakaifunga 2-0 Arsenal katika hatua ya 16 bora. Msimu uliopita, walishinda 301 dhidi ya Arsenal katika hatua ya 16 bora kabla ya kurudi England katika dimba la Wembley kuwamaliza wajerumani wenzao 2-1 katika Fainali ya UCL.
Rekodi ya Bayern dhidi ya timu za kiingereza ipo hivi  W16 D15 L12.

Bayern hawajapoteza mechi msimu huu - Je United itavunja mwiko huu?


Barcelona vs Atletico Madrid
Barca wameingia kwenye Champions League wakiwa ni moja ya interesting team. Ila kwa performance yao ilivyo mwaka huu, ni ngumu kusema moja kwa moja kuwa ni favourite, japokuwa chochote kinaweza kutokea ukichukua reference  mwaka 2009 na 2011.
Baada ya kuwatoa Man City kwenye raundi iliyopita, timu ambayo Barca walikuwa wakiihofia zaidi kukutana nayo ni Bayern Munich, wamepata draw against Atletico Madrid timu ambayo inaonesha kuwasumbua zaidi Barca recently na sasa wanachuana vikali kwenye top position ya La liga wa msimu huu, Atletico hawajapoteza mechi yoyote dhidi ya Barca (wamepata draw tatu) hali ambayo inawapa extra confidence kwa maana wanaweza ku progress to semi finals kama watapata draw mbili ambazo zitawa favour na away goals, pia wachezaji hatari wa Atletico kama Diego Costa na Koke wanaongeza confidence kuwa watashinda dhidi ya Barcelona. 
Lakini ikumbukwe kwamba hapa tunaongelea Barca, bingwa mara 3 kombe hili, pia wana kikosi imara na chenye uzoefu wa kufanya lolote lile ndani ya dk 90, hapa bila shaka huwezi kuacha kulitaja jina la Lionel Messi ambaye ana rekodi ya kuifunga Atletico Madrid magoli mengi kuliko timu nyingine yeyote.
RECODS
FC Barcelona wana rekodi ya kushinda mara 4 na kufungwa mara 5 katika mechi 9 dhidi ya timu za Hispania katika michuano ya UEFA. Pia walipoteza fainali ya mwaka 2006 ya UEFA Super Cup kwa kipigo cha 3-0 kwa Sevilla FC in Monaco.
Atlético hawajawahi kufika kwenye hatua hii katika michuano ya UCL tang msimu wa 1996/97 walipofungwa na AFC Ajax. Rekodi ya Atletico katika robo fainali ni ushindi wa me chi 3 na wamefungwa mara 2 kutoka katika robo fainali 5.

Wayne Rooney


Chapisha Maoni