Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



·       Mabao mengi kwa msimu kwenye michuano ya Ulaya-17
·       Mchezaji pekee kushinda kiatu cha dhahabu (mfungaji bora) kwenye ligi mbili kubwa za Ulaya (Premier League akiwa na Manchester United na La Liga akiwa na Real Madrid)
·       Mchezaji wa kwanza kufunga bao dhidi ya kila timu kwenye La Liga kwenye msimu mmoja.
·       Mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi akiwa na Madrid kwa msimu mmoja, alipiga 60.
·       Alifunga hat trik saba, ambazo hazijawahi kufungwa na yeyote akiwa na Real Madrid.
·       Mchezaji aliyefanikiwa kufunga mabao 250 katika kipindi kifupi zaidi akiwa na Real Madrid ukilinganisha na wengine wote.
·       Mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi akiwa na timu ya taifa ya Ureno, ameishapiga 50.


MWAKA                                     MECHI  MABAO
2002-2003     Sporting Lisbon       31      5
2003-2009     Man United             292    118
2009-             Real Madrid             254     264
2003-             Ureno                         114        50
 
Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo - Croatia vs. Portugal, 10th June 2013.jpg
Ronaldo playing for Portugal in 2013
Personal information
Full name Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro
Date of birth 5 February 1985 (age 29)[1]
Place of birth Funchal, Madeira, Portugal
Height 1.85 m (6 ft 1 in)[2]
Playing position Forward
Club information
Current team
Real Madrid
Number 7
Youth career
1992–1995 Andorinha
1995–1997 Nacional
1997–2002 Sporting CP
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2002–2003 Sporting CP 25 (3)
2003–2009 Manchester United 196 (84)
2009– Real Madrid 169 (186)
National team
2001 Portugal U15 9 (7)
2001–2002 Portugal U17 7 (5)
2003 Portugal U20 5 (1)
2002–2003 Portugal U21 10 (3)
2004 Portugal U23 3 (2)
2003– Portugal 114 (50




Chapisha Maoni