Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


 

 

YANGA leo hii imeibuka na ushindi wa bao 1-0 bao ambalo limefungwa na Danny Mrwanda dakika ya 42



Kipindi cha kwanza kilionekana kuwa ni ‘mali’ ya Yanga ambayo ilishambulia zaidi lakini wachezaji wake walipoteza nafasi nzuri kufunga.

Kipindi cha pili, Polisi wakaonekana kuimarika na kushambulia zaidi ingawa nao hawakuwa makini katikam ufungaji.

Mliberia, Kpah Sherman naye alionekana kuwa mwiba kwa mabeki wa Polisi.

Hata hivyo beki mkongwe, Lulanga Mapunda aliongoza vizuri safu yake ulinzi ya Polisi kuhakikisha hairuhusu bao tena.

RATIBA YA KESHO JUMAPILI

 
16:00AZAM FCVs    SIMBA SC
16:00KAGERA SUGARVs    NDANDA
16:00STAND UNITEDVs    COASTAL UNION
16:00MBEYA CITYVs    T.PRISONS
16:00RUVU SHOOTINGVs    MTIBWA SUGAR
16:00JKT RUVUVs    MGAMBO JKT


Chapisha Maoni