Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.




kiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa mnigeria Vicent Enyeama.Toure pia alikwaa tuzo ya FIfa ya Ballon D'Or mwezi wa kumi mwaka wa jana..
 

OTHER WINNERS
-National Team of the Year - Algeria
Women National Team of the Year - Nigeria
Club of the Year - ES Setif (Algeria)
Most Promising Talent - Yacine Braimih - Algeria
Best Youth Player of the Year - Asisat Oshoala - Nigeria
Woman Footballer of the Year - Asisat Oshoala
Coach of the Year - Kheeireddine Madoui (ES Setif) of Algeria


Chapisha Maoni