Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


mchezaji wa kiwango cha dunia cristiano Ronaldo ameshindwa kuiokoa timu yake hii leo,akishuudia ikichapwa bao 4-0 huku ronaldo akionyesha kiwango cha chini.

 mshambuliaji Thomas Muller aliyefunga mabao matatu peke yake, dakika za 12 penalti baada ya Mario Gotze kuchezewa rafu kwenye eneo la hatari, 45 na 88, wakati bao lingine lilifungwa na Mats Hummels dakika ya 32 baada ya kazi nzuri ya Tony Kroos.
Beki wa Ureno, Pepe alitolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 37 na refa Milorad Mazic wa Serbia, baada ya kumpiga kichwa Muller kwa hasira kufuatia mshambuliaji huyo wa Ujerumani kujiangusha wakati wakikabiliana.
Kikosi cha Germany: Neuer 6; Boateng 6, Mertesacker 6, Hummels 7 (Mustafi 73min, 6), Howedes 6, Lahm 7; Khedira 7.5, Kroos 6; Muller 8 (Podolski 80), Ozil 5.5 (Schurrle 63, 6.5), Gotze 7.

Subs: Zieler, Grosskreutz, Ginter, Schweinsteiger, Klose, Draxler, Durm, Kramer, Weidenfeller.
Goals: Muller 12 (pen), 45, 78, Hummels 32
Portugal: Patricio 5.5; Pereira 5, Alves 5, Pepe 2, Coentrao 4.5 (A Almeida 65, 5.5);  Moutinho 5, Veloso 5 (Costa 45, 5), Meireles 5; Nani 6, H Almeida 5 (Eder 23, 5), Ronaldo 5.
Subs: Eduardo, William Carvalho, Vieirinha, Luis Neto, Rafa, Varela, Ruben Amorim, Postiga, Beto.
Booked: Pereira.
Sent off: Pepe.
Man of the match: Thomas Muller.
Referee: Milorad Mazic (Serbia)

Winning with style: The German team come together to celebrate the hat-trick by Thomas Muller (left)

Theatrical: Muller goes over the top in his reaction to being caught by Pepe's arm


Going down easily: Muller (left) falls to the floor holding his face
Argument: Pepe has a go at Muller following the incident


Headcase: Pepe butts Muller while the German is sat on the floor
Startled: Muller reacts in shock and disbelief after Pepe's ridiculous headbutt
Squaring up: Muller angrily reacts after the Portugal defender's act of violence




Off you go: Pepe (second right) is sent off as Muller (left) is held back by team-mate Toni Kroos


Chapisha Maoni