Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



 
Mario Balotelli
Klabu ya Liverpool imemsajili mshambuliaji machachari Mario Balotelli kwa paundi milioni 16.
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa wameamua kumchukua mshambuliaji huyo ili kuziba pengo lililoachwa wazi na Luis Suarez ambaye amehamia Barcelona.
Balotelli ambaye mwaka jana alijiunga na timu ya AC millan kwa uhamisho wa paund milion 19 akitokea Machester City hadi sasa ameweza kufunga magoli 30 katika michezo 54.
Balotelli alijiunga na Manchester City August 2010 kwa paundi milion 24 wakati huo akitokea Inter Milan ambako aliiwezesha klabu yake kuchukua kombe katika michuano ya ligiya England.


Mario Balotelli
Balotelli wears the 2014 Italy Home Kit 02 (cropped).jpg
Balotelli wearing the 2014 Italy home kit
Personal information
Full name Mario Barwuah Balotelli[1]
Date of birth 12 August 1990 (age 24)
Place of birth Palermo, Italy
Height 1.89 m (6 ft 2 12 in)[2]
Playing position Striker
Club information
Current team
Milan
Number 45
Youth career
2001–2006 Lumezzane
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2006–2007 Lumezzane 2 (0)
2007–2010 Internazionale 59 (20)
2010–2013 Manchester City 54 (20)
2013– Milan 43 (26)
National team
2008–2010 Italy U21 16 (6)
2010– Italy 33 (13


Chapisha Maoni