Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



 2
Mechi

Mchezaji mmoja wa soka raia wa Cameroon amefariki baada ya kupigwa na kitu katika kichwa chake kilichorushwa kutoka kwa mashabiki mwishoni mwa mechi katika ligi ya Algeria. 

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 Albert Ebosse aliyekuwa akiichezea kilabu kubwa ya JS Kabylie alikuwa ameifungia timu yake bao la pekee katika mechi ambayo timu hiyo ilishindwa kwa mabao mawili kwa moja na kilabu ya USM Alger.
Kitu kilichomgonga kichwani kilirushwa baada ya mechi kukamilika,wakati ambapo wachezaji walikuwa wanarudi katika chumba cha kujianda.
Waziri wa maswala ya ndani nchini Algeria ameagiza kuanzishwa uchunguzi kuhusu mauaji hayo.
BY BBC 

Albert Ebossé Bodjongo
Personal information
Full name Albert Dominique Ebossé Bodjongo Dika
Date of birth October 6, 1989
Place of birth Douala, Cameroon
Date of death August 23, 2014 (aged 24)
Place of death Tizi Ouzou, Algeria
Height 1.85 m (6 ft 1 in)
Playing position Forward
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2008–2010 Coton Sport FC

2010–2011 Unisport Bafang

2011–2012 Douala AC 10 (9)
2012–2013 Perak FA 16 (11)
2013–2014 JS Kabylie 31 (17)
National team
2009 Cameroon U20

2009–2014 Cameroon 6 (0)


Chapisha Maoni