Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


 Just 25 seconds later, Rooney runs onto Valencia's pass at the top of the penalty area and makes in 1-0 in United's favour
 MANCHESTER UNITED,leo hii wameichabanga Liverpool bao 3=0 katika mchezo mkali uliopigwa katika uwanja wa oldtrafod na kuzidi kuzifukuzia timua ambazo zipo kileleni mwa ligi hiyo,ambapo kwa sasa wamejihakikishia nafsi zuri zaidi ya kufukuzia mbio za ubingwa huku matokeo hayo yakizidi kumchachafya kocha wa liverpool na inawezeka akafutwa kazi hivi karibuni kwa matokeo mabaya.

MANCHESTER UNITED, walioanza: De Gea, Valencia, Jones, Evans, Young, Carrick, Fellaini, Mata, Rooney, Van Persie, Wilson.

wachezaji wa hakiba: Falcao, Januzaj, Lindegaard, Ander Herrera, Fletcher, McNair, Blackett 

wafungaji: Rooney 12, Mata 40, Van Persie 71


LIVERPOOL, wachezaji walioanza: Jones, Skrtel, Lovren, Johnson, Moreno, Henderson, Allen, Gerrard, Coutinho, Lallana, Sterling

WACHEZAJI wa hakiba  Toure, Lambert, Lucas, Mignolet, Can, Balotelli, Markovic
Marouane Fellaini is outpaced by Adam Lallana and finds himself in referee Martin Atkinson's book after this challenge

 
Wilson and Van Persie help a smiling Rooney to his feet as the celebrations come to an end
De Gea celebrates Rooney's goal moments after making the save from Sterling's point blank strike
Glen Johnson makes an early exit after just 26 minutes through injury and is replaced by Kolo Toure
Steven Gerrard slides in to halt the progress of United's young striker James Wilson
Juan Mata heads in United's second goal on the far post but was offside when Robin van Persie go the decisive flick-on
Brad Jones, who replaced Simon Mignolet in the Liverpool goal, has no chance as Mata's header ripples the net
Mata celebrates as Liverpool slump two goals behind in what many regard as the fiercest rivalry in English football
A delighted Mata awaits his congratulations from team-mates after his controversial goal


Chapisha Maoni