Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


 

Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Daniel Henry ametangaza kustaafu kucheza soka rasmi.
Nyota huyu alietwaa kombe la dunia mwaka 1998 akiwa na timu ya Ufaransa alijiondoa kwenye klabu yake New York Red Bulls mapema mwezi huu na kukawa na tetesi atachagua kujiunga na klabu nyingine kubwa barani ulaya.
" Napaswa kuwashukuru mashabiki wote, nawashukuru wachezaji wenzangu na watu binafsi wanaohusika na AS Monaco, Juventus, Arsenal FC, FC Barcelona,na New York Red Bulls na pia Timu ya taifa ya Ufaransa waliufanya wakati wangu wa mchezo kuwa Maalumu".
Henry alianza kuwika katika soka la kimataifa akianzia klabu ya Monaco kisha akaelekea Juventus ,kabla ya kutua Arsenal alikocheza kwa mafanikio makubwa.
Thierry Henry
Thierry Henry MLS All Star 2013.jpg
Thierry Henry playing for the MLS All-Stars in 2013.
Personal information
Full name Thierry Daniel Henry[1]
Date of birth 17 August 1977 (age 37)[2]
Place of birth Les Ulis, Essonne, France
Height 1.88 m (6 ft 2 in)[1]
Playing position Striker
Youth career
1983–1989 CO Les Ulis
1989–1990 US Palaiseau
1990–1992 Viry-Châtillon
1992 Clairefontaine
1992–1994 Monaco
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
1994–1999 Monaco 105 (20)
1999 Juventus 16 (3)
1999–2007 Arsenal 254 (174)
2007–2010 Barcelona 80 (35)
2010–2014 New York Red Bulls 122 (51)
2012 Arsenal (loan) 4 (1)
Total
581 (284)
National team
1997 France U20 5 (3)
1997–2010 France 123 (51)
BY BBC


Chapisha Maoni