Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



  
TOKA 2010 RUVU SHOOTING,HAIJATAPA USHINDI KWA YANGA,MUDA HUU WAKOUWANJANI
Uongozi wa klabu ya Yanga unapenda kuwaalika wananchi wa Tanzania na nchi jirani kuungana Basi kesho katika shamrashamra za ushindi wa ubingwa wa michuano ya Ligi Kuu Bara.


Katibu Mkuu wa Yanga Dk Jonas Tiboroha amesema wao kama uongozi tayari wameanza maandalizi ya kusherehekea ubingwa Kwa staili ya tofauti kabisa ambayo wataitumia katika mchezo wao wa kesho  dhidi ya Polisi Morogoro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


BAO LA MSUVA SAWA NA BAO LA VAN PERSIE
"Sisi kama Yanga tumejipanga Kwa staili tofauti Kabisa katika kuuchukua ubingwa wa ligi kuu na napenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha mamia na maelfu ya Watanzania kutoka maeneo mbalimbali nchini kuja kuungana na sisi katika surprise ya kuchukua ubingwa kesho."

Awali akizungumzia safari ndefu ya kuusaka ubingwa Dk Tiboroha amesema wametoka Mbali kimafanikio Kwa kuweza kushinda Michezo Mingi na kilichobaki kesho ni kitu kitu kidogo Sana kwao kumaliza safari Ndefu Ya kuusaka ubingwa.


Imetolewa na idea ya Habari na Mawasiliano Yanga-Makao Makuu


Chapisha Maoni