Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


Manchester United new boy Memphis Depay (centre) congratulates Wayne Rooney as the home side take a 1-0 lead

Manchester United: Romero 7.5, Darmian 7.5 (Valencia 80), Smalling 6, Blind 6.5, Shaw 6, Schneiderlin 6.5, Carrick 6 (Schweinsteiger 60, 5), Young 7, Mata 8, Rooney 5.5, Depay 6 (Herrera 67, 6) 
Subs not used: Hernandez, McNair, Andreas Pereira, Johnstone
Booked: Schweinsteiger, Mata 
Goals: Walker (own goal) 21
Tottenham Hotspur: Vorm 6.5, Walker 6, Alderweireld 7, Vertonghen 6.5, Davies 6, Dier 6.5 (Alli 76), Bentaleb 5 (Mason 52, 6.5), Chadli 6, Eriksen 7, Dembele 6.5 (Lamela 69), Kane 7
Subs not used: Lloris, Trippier, Wimmer, Carroll
Booked: Vertonghen, Dier, Alli  
Referee: Jon Moss
Att: 75,261 

United's new No 7 Depay, who started brightly on his Premier League debut, revels in the opening goal celebrations
SABABU 9 ZA UNITED KUWA BINGWA MSIMU HUU

Magoli ya Wayne Rooney: Wayne Rooney anakaribia kuvunja rekodi ya ufungaji bora wa muda wrote wa klabu ya Manchester United, hilo pamoja na  kupewa nafasi ya kucheza mbele msimu huu, vitakuwa ni chachu ya ubingwa Old Trafford.
Van Gaal bado ni mshindi: Mocha Louis Van Gaal amekuwa akihangaika katika msimu wake was kwanza karibu katika kila timu alizofundisha. Bila Shaka ni wakati wake was ushindi Kama alivyoshinda na  timu nyingine zote.
Old Trafford bado ni ngome: Ukiacha mechi ya Westbrom katika hatua ya pili ya ligi, Manchester United walishinda mechi 14 Kati ya 16 wakiwa Old Trafford. United wanaweza rudisha Old Trafford kuwa sehemu ngumu kwa wapinzani.
Morgan Schneiderlin na  Bastian Schweinsteiger: Mwaka Jana Manchester United walihangaika Mara tu walipokuwa wakimkosa Michael Carrick, ujio wa viungo hao wawili mahususi ni dalili kwamba hawatahangaika tena.
Ukubwa wa kikosi: Ili timu ifanye vizuri  inahitaji kuwa na  mbadala karibu katika kila idara. Manchester United wameongeza watu ambao ukijumlisha na  waliopo, wana kikosi cha kutosha.
Kuwaondoa wachovu kikosini: Angel Di Maria, Radamel Falcao na  Robin Van Persie wote wameondoka na  ni uamuzi sahihi was klabu kubakia na  wachezaji waliojikomiti na  wenye uwezo mzuri na  moyo wa kupambana.
Chelsea wanaonekana kupungua uwezo: fomu ya Chelsea ingawa ndio mwanzo lakini inaonekana hawatakuwa saw a kutokana na  majeruhi ya Diego Costa na  umri wa mkongwe Terry pamoja na  uchovu wa kikosi kizima msimu huu.
Uwezo wa kumudu Big games: Msimu uliopita Manchester United walikusanya points za kutosha kutoka kwa time kubwa Kama Liverpool, Arsenal, Manchester City na Spurs, hill linawapa nguvu ya kushindania ubingwa.
Wanasonga mbele: Manchester United wameonekana kukosa uvumilivu na  kile kinachoonekana kuwarudisha nyuma ama kuwakwamisha. Mara baada ya kutoridhika na  David Moyes, haraka walifanya maamuzi na  bila shaka wataendelea hivyo.
Majeruhi kikosini: Kila mmoja Old Trafford anaombea kupita kwa upepo wa mwaka jana wa majeruhi kikosini ili wawe vizuri msimu huu. Luke Shaw yuko fiti sasa, hali ikibakia hivi wanaweza kunyakua ubingwa msimu huu, tusubiri tuone.


Chapisha Maoni