Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



Marin Cilic wa Croatia ameibuka bingwa wa US Open kwa kumfunga Kei Nishikori wa Japan
Mpambano huo umechezwa katika uwanja wa Arthur Ashe Mjini New York Marekani.
Cilic amepokea kombe la michuano ya tennis upande wa wanaume kwa mara ya kwanza baada ya kumshindilia mpinzani wake seti tatu za 6-3, 6-3 , 6-3.
Hii ni mara ya kwanza katika historia ya fainali za US Open ambapo mchezo wa mwisho unawakosa mmoja kati ya wachezaji wakali akiwemo Andy Murray, Novak Djokovic ama Roger Federer.
Cilic anakuwa Mkroatia wa kwanza kutwa ubingwa wa moja kati ya mashindano makubwa manne ya tenis duniani tangu kocha wake Goran Ivanisevic abebe ubingwa wa Wimbledon mwaka 2001.















Marin Čilić
Cilic MA14 (16) - Copy (14239610239).jpg
Čilić in the 2014 Madrid Open
Country
Residence
Born
28 September 1988 (age 25)
Međugorje, Bosnia and Herzegovina
Height
1.98 m (6 ft 6 in)
Turned pro
2004
Plays
Right-handed (two-handed backhand)
Coach(es)
Bob Brett (2004–2013)
Goran IvaniÅ¡ević (2013–)
Prize money
$7,581,780
Singles
Career record
291–160 (64.38%)
Career titles
11
Highest ranking
No. 9 (22 February 2010)
Current ranking
No. 16 (18 August 2014)
Grand Slam Singles results
SF (2010)
4R (2009, 2010)
QF (2014)
F (2014)
Other tournaments
2R (2008, 2012)
Doubles
Career record
56–62
Career titles
0
Highest ranking
No. 49 (15 April 2013)
Current ranking
No. 300 (7 July 2014)
Last updated on: July 7, 2014.





Chapisha Maoni