Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


 

SIKU chache baada ya Yanga kumtimua Maximo[toka Brazil] katika timu yao baada ya kufungwa na Simba katika mechi ya bonaza ya nani mtani Jembe,amini usiamini Simba nao wamemtimua Phiri kigezo cha wazi kikiwa ni kufungwa na Kagera Sugar.

Phiri baada ya kupewa taarifa hiyo alisema maneno yafuatayo kwa huzuni

"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
  "Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.

Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza ni kiasi gani, halafu ataanza safari ya kurejea kwao Zambia.

"Nikimalizana nao kuhusiana na malipo yangu, nitajua lini ninakwenda nyumbani," alisema Phiri.


 
Patrick Phiri
Personal information
Date of birth 3 May 1956 (age 58)
Place of birth Luanshya, Northern Rhodesia
Playing position Forward (retired)
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
1973–1974 Buseko FC

1974–1975 Rokana United
(21)
1975–1986 Red Arrows

Teams managed
1986–1991 Red Arrows
1992–1994 Ndeke Rangers
1995–1997 Lusaka Dynamos
1997 Mochudi Centre Chiefs
1997–2002 Nkana F.C.
2002–2003 Zambia
2003–2005 Simba
2006–2008 Zambia
2008–2011 Simba
2012-2014 NAPSA Stars
 2014-simba ya Tanzania ametimuliwa kwa sasa hana timu.










































Chapisha Maoni