Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


bdf


GOOOOOO Dk 85, BDF wanafunga la pili kupitia Kumbulani ambaye alipiga mpira, ukagonga mwamba. Ukamrudia na Yondani na Cannavaro kushindwa kuokoa, akapiga bao.


GOOOOOOOO Dk 29, Ngassa anaifungia Yanga bao safi kwa kichwa cha kuchupa baada ya basi nzuri ya Amissi Tambwe aliyeuwahi mpira alioutema kipa wa BDF.


Kikosi kilichoanza:
Barthez
Juma Abdul 
Oscar
Cannavaro
Yondani
Twite
Msuva
Niyonzima
Tambwe
Ngasa
Mrwanda


Chapisha Maoni