Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.




Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF huku Tanzania ikiwa kundi G pamoja na nchi za Nigeria, Misri na Chad.
Makundi ni kama ifuatavyo:
Kundi A: Tunisia, Togo, Liberia, Djibouti.
Kundi B: Congo DRC, Angola, Jamhuri ya Kati, Madagascar.
Kundi C: Mali, Guinea ya Ikweta, Benin, Sudan Kusini.
Kundi D: Burkina Faso, Uganda, Botswana, Comoro.
Kundi E: Zambia, Kenya, Congo Brazzaville, Guinea Bissau.
Kundi F: Cape Verde, Morocco, Libya, Sao Tome.
Kundi H: Ghana, Msumbiji, Rwanda, Mauritius.
Kundi I: Ivory Coast, Sudan, Sierra Leone, Gabon.
Kundi J: Algeria, Ethiopia, Lesotho, Shelisheli.
Kundi K: Senegal, Niger, Namibia, Burundi.
Kundi L. Guinea, Malawi, Zimbabwe, Swaziland.
Kundi M. Cameroon, Afrika ya Kusini, Gambia, Mauritania.
Fainali zake zitafanyika Gabon 2017 na droo imefanyika Misri, makao makuu ya CAF



Chapisha Maoni