Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.




 wekundu wa msimbazi simba leo hii wamenguruma katika uwanja wa taifa baada ya kuitandika yanga bao 2-0 katika mchezo wa bonanza wa nani Mtani Jembe mechi iliyochezwa jjini Dar es salam
 
bao la kwanza la Simba limepatikana dakika ya 30 kupitia kwa kijana machachari Awadhi Juma,bao ambalo lilipelekea baadhi mashabiki wa yanga kuanza kuzimia uwanjani.



Dk 41 Maguri akaongeza bo la pili kwa Simba  baada ya kuunganisha mpira wa kurusha wa chollo ambao uligonga mwamba, mabeki wa Yanga wakazubaa, akarudi na kufunga tena.




VIKOSI VYA LEO YANGA VS SIMBA
YANGA:
Deo Dida
Abdul Juma
Oscar Joshua
Nadir Haroub
Kelvin Yondani
Mbuyu Twite
Haruna Niyonzima
Emerson Roque
Simon Msuva
Kpah Sherman
Coutinho

SIMBA:
Ivo Mapunda
Nassor Chollo
Mohammed Hussein
Hassan Isihaka
Juuko Murishid
Jonas Mkude
Rama Singano
Awadh Juma
Elius Maguri
Simon Sserunkuma
Emmanuel Okwi


Chapisha Maoni