Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.


 
Meneja wa Leicester City, Nigel Pearson amemshambulia kwa matusi Mwandishi wa habari akimfananisha na ndege aina ya mbuni.
Pearson alifanya kitendo hicho baada ya timu yake kupata kichapo cha 3-1 toka kwa vinara wa ligi Chelsea.
Bosi huyo wa Leicester alimtukana mwandishi Ian Baker aliyemuuliza swali kuhusu madhaifu ya wachezaji wake yaliyosababisha timu kuboronga msimu mzima.
Pearson, hakufurahishwa na namna alivyoulizwa na kuamua kumtukana mwandishi akisema: “Wewe lazima ni punguani sana, sana”.


Chapisha Maoni