Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.



 
Yanga imefanikiwa kumsajili beki Haji Mwinyi kutoka KMKM ya Zanzibar.

Haji Mwinyi amesaini kuichezea Yanga leo na sasa yuko njiani kurejea kwa Zanzibar.

Mwinyi alikuwa katika kikosi cha Taifa Stars kilichoshiriki michuano ya Kombe la Cosafa nchini Afrika Kusini.
Pamoja na Mwinyi, Yanga imefanikiwa kumnasa kipa wa Kagera Sugar, Benedicto Tinocco.

Tinocco licha ya kuwa tegemeo katika kikosi cha timu ya taifa ya vijana, pia aliwahi kuwa kipa bora wa michuano ya Copa Coca Cola.


Chapisha Maoni