Ads (728x90)

Inaendeshwa na Blogger.




Manchester United al maarufu mashetani wekundu jana ilikwea hadi nafasi ya tatu ya msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuwaadhibu wapinzani wao Southampton kwa jumla ya magoli 2 - 1 katika mechi iliyopigwa kwenye uwanja wa St. Marys
Kinara wa Manchester United hapo jana alikuwa ni Robin Van Persie ambaye ndiye aliyefunga magoli yote mawili kwa upande manchester United.
Kwa matokeo hayo sasa Manchester inapanda hadi nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi hiyo na kuwashusha Southampton hadi nafasi ya tano.
Msimamo ulivyo kwa sasa Chelsea wapo nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi hiyo, Manchester City ya Pili na Manchester United wapo nafasi ya tatu.

Van Persie (front) scored the decisive goal for United in the 71st minute following a Wayne Rooney free-kick
Van Persie (centre) watches on as his left-footed shot pokes through the legs of Southampton goalkeeper Fraser Forster
The 31-year-old is mobbed by his United team-mates as they celebrate his strike in front of the travelling away supporters
Southampton (4-2-3-1): Forster 5.5; Clyne 6, Fonte 5, Yoshida 6, Bertrand 6; Steven Davis 7, Wanyama 6.5; Long 6.5 (Mayuka 79, N/A), Tadic 6.5 (Hesketh 70, 6), Mane 6, Pelle 7.
Subs not used: Kelvin Davis, Gardos, , Isgrove, Reed, Targett.
Goal: Pelle 31
Booked: Mane, Fonte
Manager: Ronald Koeman 6.5
Man Utd (3-5-2): De Gea 6.5; McNair 5 (Herrera 38, 6), Smalling 5.5 (Evans 16, 6), Rojo 6; Valencia 5.5, Carrick 6.5, Fellaini 5, Mata 4.5 (Fletcher 89, N/A), Young 5.5; Van Persie 8, Rooney 6.5.
Subs not used: Lindegaard, Falcao, Januzaj, Wilson.
Goals: Van Persie 12, 71
Booked: Rooney
Manager: Louis van Gaal 7
Referee: Kevin Friend (Leicestershire) 7
MOTM: Van Persie
Attendance: 31,420 
Player ratings by Ralph Ellis
CLICK HERE for all the stats, goals - including Robin van Persie's second strike (above) - and heat maps from St Mary's


Chapisha Maoni