FIFA LISTI YA UBORA DUNIANI: NAMBARI 1 BADO BELGIUM, TANZANIA YAPANDA 3! Belgium imebaki Nambari Wani kwenye FIFA Listi ya Ubora Duniani ...
MAAFISA WAWILI WAKAMATWA FIFA HATARI SANA
Maafisa kadha wa Fifa wamekamatwa kwenye msako wa polisi uliofanywa katika hoteli moja kuu mjini Zurich, Uswizi. Polisi walifika katika hot...
KENYA YAPANDA NAFASI 27 VIWANGO VYA FIFA
Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 katika orodha ya hiv...
SIMBA YANASA WAWILI TAYARI KWA KAZI
AZAM FC imekubalia kumuachia winga wake Mganda, Brian Majwega ajiunge na Simba SC. Ofisa Habari wa Simba SC, Hajji Manara amesema kwamba Ma...
BARUA YA WAZI YA MSEMAJI WA SIMBA KWA WANASIMBA
AWALI ya yote niwape hongera wana Simba wote kwa uvumilivu mkubwa mlionao, hasa katika kipindi hiki kigumu ambacho mnapitia. Kipindi kigumu...
TAIFA STARS TATIZO NI MAKOCHA AU WACHEZAJI ?
Itakumbukwa Agosti 26,1979 Taifa Stars ilikuwa ikihitaji sare ya aina yoyote dhidi ya Zambia ili ifuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afri...
KILI STARS KUREJEA KESHO DAR
BAADA YA KUNG'OLEWA NA ETHIOPIA, KILIMANJARO STARS INAREJEA NYUMBANI KESHO Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars...
KILLI STAS NJE CHALENJI CUP KWA PENALTI 4-3
Mkude pamoja na kapombe wakosa penalti.
RATIBA YA ROBO FAINALI CHALENJI KILLI STARS VS SUDAN
CECAFA CHALENJI CUP 2015: SAFU ROBO FAINALI YATIMIA, KILI KUIVAA SUDAN! Mashindano ya CECAFA CHALENJI CUP yanayoendelea huko Nchini Ethiopi...
RATIBA YA LIGI MBALIMBALI DINIANI
Ongeza SAA moja kwa muda ulioandikwa hapa. 28 November 2015 English Barclays Premier League 17:00 Aston Villa v Watford Villa Park 17:00...
RATIBA ENGLAND KWA SAA ZA BONGO
LIGI KUU ENGLAND: Saa za Bongo Jumamosi Novemba 28 1800 Aston Villa v Watford 1800 Bournemouth v Everton 1800 Crystal Palace v Newcas...
KIKOSI CHA VIJANA CHINI YA MIAKA 15 CHAANZA KAMBI YA MAFUNZO KARUME
Timu ya taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U15) imeingia kambini jana jioni katika hosteli za TFF zilizopo Karume jij...
TIMU 24 KUINGIA UWANJANI LIGI DARAJA LA PILI WIKIENDI HII
Ligi Daraja la Pili (SDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa timu 24 za makundi A, B, C na D kucheza katika viwanja 12 mbal...
ZANZIBAR HEROES YAKUMBUKA SHUKA JIONI, YAIBUKA NA KUITANDIKA KENYA MABAO 3-1
Pamoja na kupigwa mechi mbili za michuano ya Kombe la Chalenji, Zanzibar Heroes imeibuka na kuitwanga Kenya kwa mabao 3-1. ...
FAHAMU KILICHOJILI KUHUSU NYOSO
Ishu ya beki Juma Nyosso aliyefungiwa miaka miwili kutocheza soka, imeibuliwa upya baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa na mchak...
ROONEY ANUSURIKA KIKOSI CHA DUNI 2015 FIFAPRO WORLD XI
2015 FIFA FIFPro World XI: ROONEY, TERRY NDIO PEKEE WACHEZAJI WA ENGLAND! Wayne Rooney na John Terry ndio Wachezaji pekee wa England kutajw...